Agapiti Manday

Bw. Agapiti Manday ni Meneja wa Mradi wa Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact. Akiwa kama Meneja Mradi, hutoa uongozi na dira katika utekelezaji wa mpango huu mpya na kusaidia wabunifu na wajasiriamali wa Tanzania kutumia takwimu/data na kuleta mabadiliko katika jamii zao.

Profile details