Profile Category: Completed Project

Josephat Geoffrey Mandara
Profiles

Josephat Geoffrey Mandara

Nikiwa kama kaka, inaniumiza ninaposikia kuna baadhi ya wanafunzi wa kike hushindwa kuhudhuria masomo wanapokuwa katika siku zao.
Kutokana na tatizo hilo nataka kutumia jukwaa lakielektroniki katika kupeana taarifa kuhusu Usimamizi wa Usafi wakati wa Hedhi katika shule za sekondari ili kukuza uelewa juu ya usafi wakati wa hedhi, na tunaweza kupunguza idadi ya wasichana wanaoacha masomo kutokana na hedhi.

Lulu Said Ameir
Profiles

Lulu Said Ameir

Kama mjasiriamali mdogo, mimi nataka kufunga mashine za utengenezaji wa pedi kwenye mashule ili kuwasaidia wasichana waliobarehe kupata pedi safi na za bei nafuu. Lakini pia nataka kukusanya takwimu ili kupata uthibitisho wa jinsi gani mashine hizi zimeweza kupunguza utoro wa wasichana utokanao na hedhi. Lengo si kuwa tu mjasiriamali lakini pia niweze kufikia lengo langu la kuwasaidia wasichana wenzangu na wanawake, sababu ili tatizo kubwa tunalokumbana nalo kila siku.

  • 1
  • 2