Category: Uncategorized @sw

Dirisha la kwanza hadi lilipofunguliwa
Post

Dirisha la kwanza hadi lilipofunguliwa

Dirisha la kwanza la DLI Innovation Challenge lililenga mashirika na watu binafsi   kutoka Tanzania nzima. Uombaji wa ushiriki katika shindano hiulo ulianza kuanzia Oktoba 25 hadi Novemba 26 mwaka jana saa 6:00 usiku. Dirisha hilo la kwanza liliwavutia waombaji wapatao   723 kutoka taasisi  190 ziulizosajiliwa na  533  kutoka kwa waombaji binafsi. Hata hivyo ni taasisi...

August 15, 2017August 15, 2017by
DLIIC katika mchakato wa kutafuta wabunifu ili kupambana na changamoto za afya nchini  Tanzania
Post

DLIIC katika mchakato wa kutafuta wabunifu ili kupambana na changamoto za afya nchini Tanzania

DLIIC katika mchakato wa kutafuta wabunifu ili kupambana na changamoto za afya nchini  Tanzania Katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, Serikali ya Tanzania imekuwa na  maendeleo mazuri katika kufungua vituo vya takwimu ili kuweza kuweka uwazi mkubwa na kuongeza ufanisi kiutendaji. Hata hivyo pamoja na jitihada hizo za serikali  kuna fursa nyingine ya  kuhusisha zaidi...

August 15, 2017August 15, 2017by
Je unafahamu jinsi ya kufanya uwasilishaji?
Post

Je unafahamu jinsi ya kufanya uwasilishaji?

Je una wazo la ubunifu, ambalo litabadilisha sekta na kusaidia watu wengi. Vizuri! Sasa unawezaje kumshawishi mtu ili aweze kuwekeza katika wazo lako? Inawezekana kwamba wakati fulani, utahitaji “kuwasilisha wazo lako” kwa wawekezaji. Unapowasilisha wazo lako kwa wawekezaji, utawatupia wazo lako kwao na unatarajia watalipokea, watalipenda na kuwekeza. Sehemu ya shindano la ubunifu la DLI...

August 4, 2017September 7, 2017by