Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) limewachagua wabunifu 9 ikiwa ni Taasisi 5 na Watu Binafsi 4 kupokea ruzuku chini ya Dirisha la Nne la DLI. Dirisha hilo lililenga zaidi changamoto zilizopo katika jamii zilizotambuliwa na wananchi wa kawaida kupitia mradi dada wa Data Zetu ambao umelenga katika kukuza matumizi...
Category: News
Uzinduzi wa TanzMED, jukwaa la kibunifu la taarifa za afya
Ukiwa na swali juu ya afya yako, ni nani utakaye muuliza? Wengi wetu tunawaamini madokta wetu kwa taarifa za kiafya, lakini inakuwaje kama hauwezi kusubiri apointimenti? Jukwaa jipya linaziweka taarifa hizi muhimu za afya katika ncha ya vidole vya watanzania. Jukwaa hilo, lijulikanalo kama TanzMED, limetengezwa ili kutoa upatikanaji wa taarifa za huduma ya afya...
22 watetea mapendekezo yao kwenye shindano la ubunifu la #ZeroHungerZeroAIDS
Wabunifu wakitanzania watoa suluhisho la changamoto ya jinsi gani nchi inaweza kufikia lengo la kumaliza njaa na Ukimwi yaani #ZeroHungerZeroAIDS. Zaidi ya waombaji 180 walituma mawazo yao ya jinsi gani ya kutatua masuala yatokanayo na njaa na VVU/UKIMWI kupitia utumiaji wa data.
41 waitwa kutetea mapendekezo yao katika Shindano la Nne la DLI
Kati ya maombi 344 yaliyopokelewa wakati wa dirisha la nne la mashindano, DLIIC ilichagua wahitimu 41 (wanawake 13 na wanaume 28) kufikia hatua ya juu. Wahitimu hawa 41 walitetea mawazo yao mbele ya jopo la majaji wataalam kutoka Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu katika kitengo cha Uwezeshaji wa Vijana Kiuchumi. Tukio hili...
DLI yatangaza ubunifu wa Tanzania utokanao na data nchini Kosovo
Agapiti Manday, Meneja wa mradi wa DLIIC, hivi karibuni alitembelea Kosovo na kuzungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika nyanja ya ubunifu nchini Tanzania.
Wabunifu 15 wajishindia ruzuku za Dirisha la Tatu la Shindano la DLIIC
Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) limetoa ruzuku kwa washindi 15 (Taasisi zikiwa 5 na Watu Binafsi 10) kupitia Dirisha la Tatu la Shindano la DLI, lililolenga kwenye eneo la Ajira kwa Vijana na Uwezeshaji wa Kiuchumi.
Wabunifu wa DLI waonyesha matokeo ya miradi yao katika Wiki Ya Ubunifu Mwaka 2018
Wiki ya Ubunifu kwa Mwaka huu wa 2018 (Ikifanyika kuanzia Mei 21-26) ilisisitiza “Ubunifu kwa Vitendo” na ilitoa jukwaa maalum lililowezesha ubunifu kuonekana ambao uleta matokeo chanya katika maendeleo ya binadamu. Tukio hilo la kipekee, liliandaliwa na taasisi ya Human Development Innovation Fund (HDIF) na lilifanyika katika ofisi za Tume ya Sayansi na Teknolojia ya...
Shindano la Nne la DLI lalenga moja kwa moja kwenye changamoto za kijamii
Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) limezindua rasmi dirisha la nne la shindano. Katika dirisha la nne la shindano la DLIIC litalenga zaidi matatizo yaliyotambuliwa na wananchi wa kawaida kupitia mradi mwingine wa DCLI, wa Data Zetu, ambao unalenga katika uongezaji wa matumizi ya takwimu katika ngazi za chini.
61 Watetea Mapendekezo yao Katika Dirisha la Tatu la Shindano la DLIIC
Shindano la Ubunifu kwa kutumia takwimu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) linapenda kuwapongeza washiriki 61 (mashirika 12 na watu binafsi 49) waliofikia katika hatua ya kutetea mapendekezo yao katika Dirisha la Tatu la shindano la DLIIC, ambalo lilijikita zaidi katika masuala ya Ajira kwa Vijana na Uwezeshaji wa Kiuchumi.
Wafadhili katika Sekta ya Ubunifu waaswa kujitokeza kuwekeza katika miradi endelevu itokanayo na takwimu/data
DLIIC inazindua shindano jipya la ubunifu kwa miradi endelevu ikiwa ni jitihada madhubuti za kuendelea kuwaunga mkono wale waliopokea ruzuku na waliofanikiwa kukamilisha hatua muhimu katika mradi yao, kutengeneza tatuzi zao zilizoanza kufanyakazi, na kupata msaada wakifedha kutoka kwa mshirika wa nje. Tunatafuta washirika wan je na wafadhili ikiwa ni pamoja ma Serikali, wafadhili, sekta...