Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) limewachagua wabunifu 9 ikiwa ni Taasisi 5 na Watu Binafsi 4 kupokea ruzuku chini ya Dirisha la Nne la DLI. Dirisha hilo lililenga zaidi changamoto zilizopo katika jamii zilizotambuliwa na wananchi wa kawaida kupitia mradi dada wa Data Zetu ambao umelenga katika kukuza matumizi...
Author: DLIIC
Nine innovators win grants through the DLI Fourth Challenge Window
The Data for Local Impact (DLI) Innovation Challenge has selected 9 innovators (5 organizations and 4 individuals) to receive awards under the DLI Fourth Challenge Window. This window focused on community level problems identified by ordinary citizens in the context of DLI’s sister project, Data Zetu, which aims to increase data use at the subnational...
Uzinduzi wa TanzMED, jukwaa la kibunifu la taarifa za afya
Ukiwa na swali juu ya afya yako, ni nani utakaye muuliza? Wengi wetu tunawaamini madokta wetu kwa taarifa za kiafya, lakini inakuwaje kama hauwezi kusubiri apointimenti? Jukwaa jipya linaziweka taarifa hizi muhimu za afya katika ncha ya vidole vya watanzania. Jukwaa hilo, lijulikanalo kama TanzMED, limetengezwa ili kutoa upatikanaji wa taarifa za huduma ya afya...
Announcing launch of TanzMED, innovative healthcare information platform
When you have questions about your health, who do you ask? Many of us trust our doctors for health information, but what if you cannot wait for an appointment? A new platform is placing important health information at the fingertips of Tanzanians. The platform, called TanzMED, is designed to provide access to healthcare information and...
22 watetea mapendekezo yao kwenye shindano la ubunifu la #ZeroHungerZeroAIDS
Wabunifu wakitanzania watoa suluhisho la changamoto ya jinsi gani nchi inaweza kufikia lengo la kumaliza njaa na Ukimwi yaani #ZeroHungerZeroAIDS. Zaidi ya waombaji 180 walituma mawazo yao ya jinsi gani ya kutatua masuala yatokanayo na njaa na VVU/UKIMWI kupitia utumiaji wa data.
22 Finalists pitched for #ZeroHungerZeroAIDS Innovation Challenge
Tanzanian innovators answered the challenge of how the country can achieve #ZeroHungerZeroAIDS. Over 180 applicants submitted ideas for how to address the connected issues of hunger and HIV/AIDS through data use.
41 waitwa kutetea mapendekezo yao katika Shindano la Nne la DLI
Kati ya maombi 344 yaliyopokelewa wakati wa dirisha la nne la mashindano, DLIIC ilichagua wahitimu 41 (wanawake 13 na wanaume 28) kufikia hatua ya juu. Wahitimu hawa 41 walitetea mawazo yao mbele ya jopo la majaji wataalam kutoka Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu katika kitengo cha Uwezeshaji wa Vijana Kiuchumi. Tukio hili...
41 finalists pitched for DLI Fourth Challenge Window
Out of the 344 applications received during the fourth Challenge Window, the Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) has selected 41 finalists (13 females and 28 males) to reach the pitch stage. These 41 finalists pitched their ideas to a panel of expert judges from the Ministry of Health and the Prime Minister’s Office...
DLI yatangaza ubunifu wa Tanzania utokanao na data nchini Kosovo
[cmsmasters_row][cmsmasters_column data_width=”1/1″][cmsmasters_text] Agapiti Manday, Meneja wa mradi wa DLIIC, hivi karibuni alitembelea Kosovo na kuzungumzia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika nyanja ya ubunifu nchini Tanzania.
DLI Promotes Data-Driven Innovations in Kosovo
[cmsmasters_row][cmsmasters_column data_width=”1/1″][cmsmasters_text] Agapiti Manday, Manager of the Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC), recently visited Kosovo to share successes and innovations from Tanzania.




