Rose Peter Funja

Rose Peter Funja

Uachaji wa Shule Utokanao na Sababu za kiafya na Ufahamu mdogo wa ufuatiliaji wa Vihatarishi

Mimi nikiwa  mwanamke na mhandisi, nataka kutumia uchambuzi wa kutabirika na mashine za kujifunzia ili niweze kuwasaidia  Maofisa Mipango wa Wilaya kutabiri athari za bajeti ya elimu kwenye viwango vya uachaji shule kwa wasichana lengo likiwa ni kupunguza viwango vya uachaji shule kwa wasichana na kuwawezesha kupata elimu.

DLI – Dropwall
Maelezo ya wasifu
Socials

Leave a Reply

Your email address will not be published.