Category: Awards

Wabunifu Tisa Wajishindia ruzuku kutoka Dirisha la Nne la Shindano la DLI
Post

Wabunifu Tisa Wajishindia ruzuku kutoka Dirisha la Nne la Shindano la DLI

Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) limewachagua wabunifu 9 ikiwa ni Taasisi 5 na Watu Binafsi 4 kupokea ruzuku chini ya Dirisha la Nne la DLI. Dirisha hilo lililenga zaidi changamoto zilizopo katika jamii zilizotambuliwa na wananchi wa kawaida kupitia mradi dada wa Data Zetu ambao umelenga katika kukuza matumizi...

November 30, 2018November 30, 2018by
41 waitwa kutetea mapendekezo yao katika Shindano la Nne la DLI
Post

41 waitwa kutetea mapendekezo yao katika Shindano la Nne la DLI

Kati ya maombi 344 yaliyopokelewa wakati wa dirisha la nne la mashindano, DLIIC ilichagua wahitimu 41 (wanawake 13 na wanaume 28) kufikia hatua ya juu. Wahitimu hawa 41 walitetea mawazo yao mbele ya jopo la majaji wataalam kutoka Wizara ya Afya na Ofisi ya Waziri Mkuu katika kitengo cha Uwezeshaji wa Vijana Kiuchumi. Tukio hili...

September 14, 2018September 14, 2018by
61 Watetea Mapendekezo yao Katika Dirisha la Tatu la Shindano la DLIIC
Post

61 Watetea Mapendekezo yao Katika Dirisha la Tatu la Shindano la DLIIC

Shindano la Ubunifu kwa kutumia takwimu la Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) linapenda kuwapongeza washiriki 61 (mashirika 12 na watu binafsi 49) waliofikia katika hatua ya kutetea mapendekezo yao katika Dirisha la Tatu la shindano la DLIIC, ambalo lilijikita zaidi katika masuala ya Ajira kwa Vijana na Uwezeshaji wa Kiuchumi.

April 5, 2018April 6, 2018by
DLIIC second window winners are set to fight HIV among girls and women in Tanzania
Post

DLIIC second window winners are set to fight HIV among girls and women in Tanzania

DLIIC awarded grants to nine Tanzanian innovators and one Tanzanian not-for-profit social enterprise, Ubongo Kids. The grants support data-focused solutions that aim to reduce the risks of contracting HIV/AIDS among Adolescent Girls and Young Women (AGYW). These entrepreneurs will receive awards ranging from 10,000 to 25,000 USD (individuals) and 100,000 USD (organization) as well as...

December 22, 2017December 22, 2017by
DLIIC yapata  washindi wa awamu ya pili ya shindano la ubunifu
Post

DLIIC yapata washindi wa awamu ya pili ya shindano la ubunifu

Wabunifu tisa kutoka Tanzania  na taasisi moja isiyo ya kiserikali, Ubongo Kids, wapatiwa ruzuku ili kuwezesha utekelezaji wa  ubunifu wao kupitia mpango wa  Data for Local Impact Innovation Challenge (DLIIC) inayofadhiliwa na Mpango wa Dharura  wa  Rais wa Serikali ya Marekani  unaojihusisha na masuala ya  Ukimwi (PEPFAR) chini ya Ushirikiano wa  (DCLI)  wanaosimamiwa na taasisi...

October 13, 2017October 16, 2017by
Washiriki 18 watetea mapendekezo yao kwenye Shindano la Pili la DLI “DREAMS”
Post

Washiriki 18 watetea mapendekezo yao kwenye Shindano la Pili la DLI “DREAMS”

Shindano la Ubunifu la Data for Local Impact (DLI) linawapongeza washiriki wote ishirini wa dirisha la pili la shindano kwa kufikia hatua ya kutetea hoja zao. Kati ya washiriki 20, washiriki 18 waliweza kushiriki vizuri katika tukio hilo wakitetea mapendekezo yao, wakichangia mawazo yao tofauti ya jinsi gani ya kuwalinda wasichana na wanawake vijana dhidi...

August 25, 2017September 6, 2017by
  • 1
  • 2